Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 15:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa; Bali kinywa cha wapumbavu hula upumbavu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenye busara hutafuta maarifa, lakini wapumbavu hujilisha upuuzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenye busara hutafuta maarifa, lakini wapumbavu hujilisha upuuzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenye busara hutafuta maarifa, lakini wapumbavu hujilisha upuuzi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa, bali kinywa cha mpumbavu hujilisha upumbavu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa, bali kinywa cha mpumbavu hujilisha upumbavu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa; Bali kinywa cha wapumbavu hula upumbavu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 15:14
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ninao ufahamu kuliko wazee, Kwa kuwa nimeyashika mausia yako.


Sheria yako naipenda mno ajabu, Ndiyo kutafakari kwangu mchana kutwa.


mwenye hekima asikie na kuongezewa elimu, na mwenye ufahamu ayafikie mashauri yenye njia.


Mwanadamu mwenye busara husitiri maarifa; Bali moyo wa wapumbavu hutangaza upumbavu.


Siku zote za mtu ateswaye ni mbaya; Bali ukunjufu wa moyo ni karamu ya daima.


Moyo wa mwenye busara hupata maarifa; Na sikio la mwenye hekima hutafuta maarifa.


Mwelimishe mwenye hekima, naye atazidi kuwa na hekima; Mfundishe mwenye haki, naye atazidi kuwa na elimu;


wawaambiao waonaji, Msione; na manabii, Msitoe unabii wa mambo ya haki, tuambieni maneno laini, hubirini maneno yadanganyayo;


Hula majivu; moyo uliodanganyika umempotosha, asiweze kuiokoa nafsi yake, wala kusema, Je! Sio uongo mkononi mwangu?


Efraimu hujilisha upepo, na kuandamana na upepo wa mashariki; haachi kuongeza uongo na uharibifu; nao wafanya agano na Ashuru, na mafuta huchukuliwa kwenda Misri.


Watu hawa walikuwa waungwana kuliko wale wa Thesalonike, kwa kuwa walilipokea lile neno kwa hamu kuu, wakayachunguza Maandiko kila siku, ili waone kama mambo hayo ndivyo yalivyo.


Lakini, kueni katika neema, na katika kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na hata milele.