Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 14:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wowote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uadilifu hukuza taifa, lakini dhambi ni balaa kwa taifa lolote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uadilifu hukuza taifa, lakini dhambi ni balaa kwa taifa lolote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uadilifu hukuza taifa, lakini dhambi ni balaa kwa taifa lolote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Haki huinua taifa, bali dhambi ni aibu kwa watu wote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Haki huinua taifa, bali dhambi ni aibu kwa watu wote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wowote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 14:34
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana BWANA aliinamisha Yuda kwa ajili ya Ahazi mfalme wa Israeli; kwa kuwa yeye aliwafanyia Yuda aibu, na kumwasi BWANA mno.


Nchi ya matunda mengi ikawa uwanda wa chumvi, Kwa sababu ya uovu wa wakazi wake.


Hekima hukaa katika moyo wake mwenye ufahamu; Bali yaliyo ndani ya wapumbavu hudhihirika.


Upendeleo wa mfalme humwelekea mtumwa atendaye kwa busara; Bali hasira yake itakuwa juu yake aletaye aibu.


Mfalme huithibitisha nchi kwa hukumu; Bali yeye apokeaye rushwa huipindua.


Efraimu aliponena, palikuwa na tetemeko; alijitukuza katika Israeli; Lakini alipokosa katika Baali, alikufa.