Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 14:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hekima hukaa katika moyo wake mwenye ufahamu; Bali yaliyo ndani ya wapumbavu hudhihirika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hekima imo moyoni mwa mtu mwenye busara; haipatikani kamwe mioyoni mwa wapumbavu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hekima imo moyoni mwa mtu mwenye busara; haipatikani kamwe mioyoni mwa wapumbavu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hekima imo moyoni mwa mtu mwenye busara; haipatikani kamwe mioyoni mwa wapumbavu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hekima hukaa katika moyo wa mwenye ufahamu bali haijulikani miongoni mwa wapumbavu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hekima hukaa katika moyo wa mwenye ufahamu bali haijulikani miongoni mwa wapumbavu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hekima hukaa katika moyo wake mwenye ufahamu; Bali yaliyo ndani ya wapumbavu hudhihirika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 14:33
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ghadhabu ya mpumbavu hujulikana mara; Bali mtu mwerevu husitiri aibu.


Mwanadamu mwenye busara husitiri maarifa; Bali moyo wa wapumbavu hutangaza upumbavu.


Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa; Bali mpumbavu hueneza upumbavu.


Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.


Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wowote.


Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri; Bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu.


Moyo wa mwenye haki hufikiri jinsi atakavyojibu; Bali kinywa cha wasio haki humwaga mabaya.


Maana hekima itaingia moyoni mwako, Na maarifa yatakupendeza nafsi yako;


Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.


Naam, huyo mpumbavu tena, aendapo njiani, hupungukiwa na fahamu zake; hata humwambia kila mtu ya kuwa yeye ni mpumbavu.