Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 14:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Taji la wenye hekima ni mali zao; Bali upumbavu wa wajinga ni upumbavu tu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mali ni taji ya fahari ya wenye hekima, lakini ujinga ni shada la wapumbavu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mali ni taji ya fahari ya wenye hekima, lakini ujinga ni shada la wapumbavu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mali ni taji ya fahari ya wenye hekima, lakini ujinga ni shada la wapumbavu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Utajiri wa wenye hekima ni taji lao, bali upumbavu wa wapumbavu huzaa upumbavu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Utajiri wa wenye hekima ni taji yao, bali upumbavu wa wapumbavu huzaa upumbavu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Taji la wenye hekima ni mali zao; Bali upumbavu wa wajinga ni upumbavu tu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 14:24
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.


Baraka ya BWANA hutajirisha, Wala hachanganyi huzuni nayo.


Fidia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake; Bali mtu maskini hasikii ogofyo lolote.


Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu.


Kuna hazina ya thamani na mafuta katika maskani ya mwenye hekima; Bali mwanadamu aliye mpumbavu huyameza.


Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano; Upumbavu wake hautamtoka.


Nyakati zako zitakuwa nyakati za kukaa imara; za wokovu tele na hekima na maarifa; kumcha BWANA ni hazina yake ya akiba.


Nami nawaambia, Jifanyieni rafiki kwa mali ya duniani, ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele.