Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 14:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maskini huchukiwa hata na jirani yake; Bali tajiri ana marafiki wengi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maskini huchukiwa hata na jirani yake, lakini tajiri ana marafiki wengi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maskini huchukiwa hata na jirani yake, lakini tajiri ana marafiki wengi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maskini huchukiwa hata na jirani yake, lakini tajiri ana marafiki wengi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maskini huepukwa hata na majirani zao, bali matajiri wana rafiki wengi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maskini huepukwa hata na majirani zao, bali matajiri wana marafiki wengi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maskini huchukiwa hata na jirani yake; Bali tajiri ana marafiki wengi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 14:20
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nao watumishi wote wa mfalme, walioketi langoni pa mfalme, wakainama na kumsujudia Hamani, maana ndivyo mfalme alivyoamuru wamfanyie. Lakini Mordekai hakumwinamia, wala kumsujudia.


Wao hunichukia, na kujitenga nami, Hawaachi kunitemea mate usoni.


Ndipo wakamwendea ndugu zake wote, wanaume kwa wanawake, nao wote waliojuana naye hapo zamani, wakala chakula pamoja naye katika nyumba yake; nao wakampa pole na kumliwaza kwa ajili ya mateso hayo yote aliyoleta BWANA juu yake; kila mtu akampa kipande cha fedha, na pete ya dhahabu kila mmoja.


Mali ya tajiri ndio ngome yake; Ufukara wa maskini ndio umwangamizao.


Utajiri huongeza marafiki wengi; Bali maskini hutengwa na rafiki yake.