Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 14:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hata wakati wa kucheka moyo huwa na huzuni; Na mwisho wa furaha ni uzito wa moyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huzuni yaweza kufichika katika kicheko; baada ya furaha huja majonzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huzuni yaweza kufichika katika kicheko; baada ya furaha huja majonzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huzuni yaweza kufichika katika kicheko; baada ya furaha huja majonzi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata katika kicheko moyo unaweza kuuma, nayo furaha yaweza kuishia katika majonzi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata katika kicheko moyo waweza kuuma, nayo furaha yaweza kuishia katika majonzi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata wakati wa kucheka moyo huwa na huzuni; Na mwisho wa furaha ni uzito wa moyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 14:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga; Ni mkali kama upanga wenye makali kuwili.


Wewe kijana, uufurahie ujana wako, na moyo wako ukuchangamshe siku za ujana wako, ukaziendee njia za moyo wako, na kinachotamaniwa na macho yako, lakini ujue wewe ya kwamba kwa ajili ya hayo yote Mungu atakuleta hukumuni.


Nikauambia moyo wangu, Haya, nitakujaribu kwa njia ya furaha basi ujifurahishe kwa anasa. Na tazama, hayo nayo yakawa ubatili.


Nikasema juu ya kicheko, Ni wazimu; na juu ya furaha, Yafaa nini?


Abrahamu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo yako mema katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unateseka.


Huzunikeni na kuomboleza na kulia. Kucheka kwenu na kugeuzwe kuwa kuomboleza, na furaha yenu kuwa huzuni kubwa.