Methali 12:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Maneno ya ovyo hujeruhi kama upanga, lakini asemayo mwenye hekima huponesha kidonda. Biblia Habari Njema - BHND Maneno ya ovyo hujeruhi kama upanga, lakini asemayo mwenye hekima huponesha kidonda. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Maneno ya ovyo hujeruhi kama upanga, lakini asemayo mwenye hekima huponesha kidonda. Neno: Bibilia Takatifu Maneno ya kipumbavu huchoma kama upanga, bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji. Neno: Maandiko Matakatifu Maneno ya kipumbavu huchoma kama upanga, bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji. BIBLIA KISWAHILI Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya. |
Nafsi yangu i kati ya simba, Nitastarehe kati yao waliowaka moto. Wanadamu meno yao ni mikuki na mishale, Na ndimi zao ni upanga mkali.
Na hao wenye hekima katika watu watafundisha wengi; hata hivyo wataanguka kwa upanga, na kwa moto, na kwa kufungwa, na kwa kutekwa nyara, siku nyingi.
Naye alikuwa na nyota saba katika mkono wake wa kulia; na upanga mkali, wenye makali kuwili, ukitoka katika kinywa chake; na uso wake kama jua liking'aa kwa nguvu zake.
katikati ya njia yake kuu. Na upande huu na huu kando ya ule mto, ulikuwapo mti wa uzima, uzaao matunda, aina kumi na mbili, wenye kutoa matunda yake kila mwezi; na majani ya mti huo ni ya kuwaponya mataifa.