Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 11:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mwenye rehema huitendea mema nafsi yake; Aliye mkali hujisumbua mwili wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu mkarimu hufaidika yeye mwenyewe, lakini mtu mkatili hujiumiza mwenyewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu mkarimu hufaidika yeye mwenyewe, lakini mtu mkatili hujiumiza mwenyewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu mkarimu hufaidika yeye mwenyewe, lakini mtu mkatili hujiumiza mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenye huruma hujinufaisha mwenyewe, bali mkatili hujiletea taabu mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenye huruma hujinufaisha mwenyewe, bali mkatili hujiletea taabu mwenyewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye rehema huitendea mema nafsi yake; Aliye mkali hujisumbua mwili wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 11:17
19 Marejeleo ya Msalaba  

Atanyonya sumu ya majoka; Na ulimi wa fira utamwua.


Atamaniye faida huifadhaisha nyumba yake mwenyewe; Bali achukiaye zawadi ataishi.


Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake.


Kuna mtu aliye peke yake, wala hana mwenzi wake; naam, hana mwana wala ndugu; hata hivyo amali yake haina mwisho, wala macho yake hayashibi utajiri. Basi asema, Ni kwa ajili ya nani nafanya kazi, na kujinyima nafsi yangu mema? Hayo nayo ni ubatili, naam, ni taabu kubwa.


Mwenye haki hupotea, wala hakuna atiaye hayo moyoni; na watu watauwa huondolewa, wala hakuna afikiriye ya kuwa mwenye haki ameondolewa asipatikane na mabaya.


Kwa sababu hiyo, Ee mfalme, shauri langu lipate kibali kwako; uache dhambi zako kwa kutenda haki, uache maovu yako kwa kuwahurumia maskini; huenda ukapata kuzidishiwa siku zako za fanaka.


Heri wenye rehema; Maana hao watapata rehema.


Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa; kipimo cha kujaa na kushindiliwa, na kusukwasukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa.


Si kwamba nakitamani kile kipawa, bali nayatamani mazao yanayozidi kuwa mengi, katika hesabu yenu.


Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Huruma hujitukuza juu ya hukumu.