Lakini hao watu wakanyamaza kimya; wala hawakumjibu hata neno moja; maana amri ya mfalme ilikuwa kwamba, Msimjibu neno.
Methali 11:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Asiye na akili humdharau mwenziwe; Bali mtu aliye na ufahamu hunyamaza. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Anayemdharau jirani yake hana akili, mtu mwenye busara hukaa kimya. Biblia Habari Njema - BHND Anayemdharau jirani yake hana akili, mtu mwenye busara hukaa kimya. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Anayemdharau jirani yake hana akili, mtu mwenye busara hukaa kimya. Neno: Bibilia Takatifu Mtu asiye na akili humdharau jirani yake, bali mtu mwenye ufahamu huuzuia ulimi wake. Neno: Maandiko Matakatifu Mtu asiye na akili humdharau jirani yake, bali mtu mwenye ufahamu huuzuia ulimi wake. BIBLIA KISWAHILI Asiye na akili humdharau mwenziwe; Bali mtu aliye na ufahamu hunyamaza. |
Lakini hao watu wakanyamaza kimya; wala hawakumjibu hata neno moja; maana amri ya mfalme ilikuwa kwamba, Msimjibu neno.
Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili.
Akawaambia mfano huu watu waliojiamini ya kuwa wao ni wenye haki, wakiwadharau wengine wote.
Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutisha; bali alijikabidhi kwake yeye ahukumuye kwa haki.
Ndipo Zebuli akamwambia, Je! Kinywa chako sasa kiko wapi, hata ukasema, Huyo Abimeleki ni nani, hata inatupasa kumtumikia yeye? Je! Hawa sio majeshi hao uliowadharau wewe? Haya, toka nje sasa, tafadhali, upigane nao.
Lakini wengine wasiofaa kitu wakasema, Huyu je! Atatuokoaje? Nao wakamdharau, wasimletee zawadi.