Methali 10:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Midomo ya mwenye haki huyajua yatakayokubaliwa; Bali kinywa chao wasio haki hunena ukaidi. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Midomo ya waadilifu hujua yanayokubalika, lakini vinywa vya waovu husema tu maovu. Biblia Habari Njema - BHND Midomo ya waadilifu hujua yanayokubalika, lakini vinywa vya waovu husema tu maovu. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Midomo ya waadilifu hujua yanayokubalika, lakini vinywa vya waovu husema tu maovu. Neno: Bibilia Takatifu Midomo ya wenye haki hujua kile chenye kibali, bali kinywa cha mwovu hujua kile kilichopotoka tu. Neno: Maandiko Matakatifu Midomo ya wenye haki inajua kile kinachofaa, bali kinywa cha mwovu hujua kile kilichopotoka tu. BIBLIA KISWAHILI Midomo ya mwenye haki huyajua yatakayokubaliwa; Bali kinywa chao wasio haki hunena ukaidi. |
Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri; Bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu.
Moyo wa mwenye haki hufikiri jinsi atakavyojibu; Bali kinywa cha wasio haki humwaga mabaya.
Maneno ya kinywa chake mwenye hekima yana neema; Bali midomo ya mpumbavu itammeza nafsi yake.
Huyo Mhubiri akachunguza ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli.
Kwa sababu hiyo, Ee mfalme, shauri langu lipate kibali kwako; uache dhambi zako kwa kutenda haki, uache maovu yako kwa kuwahurumia maskini; huenda ukapata kuzidishiwa siku zako za fanaka.
na maneno yafaayo yasiyoweza kuhukumiwa makosa, ili yule mwenye kupinga atahayarike, kwa kuwa hana neno baya la kunena juu yetu.