Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 10:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mwenye haki hataondolewa milele; Bali wasio haki hawatakaa katika nchi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waadilifu kamwe hawataondolewa nchini, lakini waovu hawatakaa katika nchi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waadilifu kamwe hawataondolewa nchini, lakini waovu hawatakaa katika nchi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waadilifu kamwe hawataondolewa nchini, lakini waovu hawatakaa katika nchi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kamwe wenye haki hawataondolewa, bali waovu hawatasalia katika nchi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kamwe wenye haki hawataondolewa, bali waovu hawatasalia katika nchi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye haki hataondolewa milele; Bali wasio haki hawatakaa katika nchi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 10:30
16 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mwenye haki ataishika njia yake, Naye mwenye mikono safi atazidi kupata nguvu.


Kwa maana hataondoshwa kamwe; Mwenye haki atakumbukwa milele.


Wamtumainio BWANA ni kama mlima Sayuni, Ambao hautikisiki, wakaa milele.


Asiyetoa fedha yake apate kula riba, Asiyepokea rushwa amwangamize asiye na hatia. Mtu atendaye mambo hayo Hataondoshwa milele.


Nimemweka BWANA mbele yangu daima, Kwa kuwa yuko kuliani mwangu, sitaondoshwa.


Maana waliobarikiwa na BWANA watairithi nchi, Nao waliolaaniwa naye watakatiliwa mbali.


Lakini Mungu atakuharibu hata milele; Atakuondolea mbali; Atakunyakua hemani mwako; Atakung'oa katika nchi ya walio hai.


Kisulisuli kikiisha pita asiye haki hayuko tena; Bali mwenye haki ni msingi wa milele.


Wakamwambia, Atawaangamiza vibaya wale wabaya; na shamba la mizabibu atawapangisha wakulima wengine, watakaomlipa matunda kwa wakati wake.