Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 10:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Aogopacho mtu asiye haki ndicho kitakachomjilia; Na wenye haki watapewa matakwa yao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Anachoogopa mtu mwovu ndicho kitakachompata, lakini anachotamani mwadilifu ndicho atakachopewa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Anachoogopa mtu mwovu ndicho kitakachompata, lakini anachotamani mwadilifu ndicho atakachopewa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Anachoogopa mtu mwovu ndicho kitakachompata, lakini anachotamani mwadilifu ndicho atakachopewa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kile anachoogopa mwovu ndicho kitakachompata; kile anachoonea shauku mwenye haki atapewa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kile anachoogopa mwovu ndicho kitakachompata; kile anachoonea shauku mwenye haki atapewa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Aogopacho mtu asiye haki ndicho kitakachomjilia; Na wenye haki watapewa matakwa yao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 10:24
16 Marejeleo ya Msalaba  

Sauti za utisho zi masikioni mwake; Katika kufanikiwa kwake mtekaji nyara atamjia juu yake;


Maana jambo hilo nichalo hunipata, Nalo linitialo hofu hunijia.


Hutimiza matakwa ya wote wamchao, Na pia husikia kilio chao, na huwaokoa.


Umempa haja ya moyo wake, Wala hukumzuilia matakwa ya midomo yake.


Nawe ujifurahishe katika BWANA, Naye atakutimizia haja za moyo wako.


Mimi nami nitacheka siku ya msiba wenu, Nitadhihaki hofu yenu ifikapo;


Hofu yenu ifikapo kama tufani, Na msiba wenu ufikapo kama kisulisuli, Dhiki na taabu zitakapowafikia.


Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.


Mimi nami nitachagua mapigo yao, nitaleta hofu zao juu yao; kwa sababu nilipoita, hawakuitika; na niliponena, hawakusikia; bali walifanya yaliyo maovu machoni pangu, na kuyachagua nisiyoyafurahia.


Ninyi mmeuogopa upanga; nami nitauleta upanga juu yenu, asema Bwana MUNGU.


Hayo yote yakampata mfalme Nebukadneza.


Heri wenye njaa na kiu ya haki; Maana hao watashibishwa.


Sitawaacha ninyi yatima; naja kwenu.


Hata sasa hamjaomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.


bali kuna kuitazamia hukumu yenye kutisha, na ukali wa moto ulio tayari kuwala wao wapingao.