Basi wakamtundika Hamani juu ya mti aliomwekea tayari Mordekai. Ghadhabu ya mfalme ikatulia.
Methali 1:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Na hao hujiotea damu yao wenyewe, Hujinyemelea nafsi zao wenyewe. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Wao huvizia na kujiangamiza wao wenyewe, hutega mtego wa kujinasa wao wenyewe. Biblia Habari Njema - BHND Wao huvizia na kujiangamiza wao wenyewe, hutega mtego wa kujinasa wao wenyewe. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Wao huvizia na kujiangamiza wao wenyewe, hutega mtego wa kujinasa wao wenyewe. Neno: Bibilia Takatifu Watu hawa huvizia kumwaga damu yao wenyewe; hujivizia tu wenyewe! Neno: Maandiko Matakatifu Watu hawa huvizia kumwaga damu yao wenyewe; hujivizia tu wenyewe! BIBLIA KISWAHILI Na hao hujiotea damu yao wenyewe, Hujinyemelea nafsi zao wenyewe. |
Basi wakamtundika Hamani juu ya mti aliomwekea tayari Mordekai. Ghadhabu ya mfalme ikatulia.
Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.
Wakisema, Haya! Njoo pamoja nasi, Na tuvizie ili kumwaga damu; Tumwotee asiye na hatia, bila sababu;
Bali kwa kadiri ya ugumu wako, na kwa moyo wako usio na toba, wajiwekea akiba ya hasira kwa siku ile ya hasira na ufunuo wa hukumu ya haki ya Mungu,