Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 9:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yesu Akaondoka, akamfuata, pamoja na wanafunzi wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akaondoka pamoja na wanafunzi wake, akamfuata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akaondoka pamoja na wanafunzi wake, akamfuata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akaondoka pamoja na wanafunzi wake, akamfuata.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akaondoka akafuatana naye, nao wanafunzi wake pia wakaandamana naye.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akaondoka akafuatana naye, nao wanafunzi wake pia wakaandamana naye.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu Akaondoka, akamfuata, pamoja na wanafunzi wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 9:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akamwambia, Nitakuja, nimponye.


Alipokuwa akiwaambia hayo, tazama, akaja kiongozi mmoja, akamsujudia, akisema, Binti yangu sasa hivi amekufa; lakini njoo, uweke mkono wako juu yake, naye ataishi.


Na tazama, mwanamke aliyekuwa na ugonjwa wa kutoka damu muda wa miaka kumi na miwili, alikuja kwa nyuma, akaugusa upindo wa vazi lake.


Yesu akawaambia, Chakula changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake aliyenituma, nikaimalize kazi yake.


habari za Yesu wa Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na nguvu naye akazunguka huku na huko, akitenda kazi njema na kuponya wote walioonewa na Ibilisi; kwa maana Mungu alikuwa pamoja naye.