Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 7:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Msiwahukumu wengine, msije nanyi mkahukumiwa na Mungu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Msiwahukumu wengine, msije nanyi mkahukumiwa na Mungu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Msiwahukumu wengine, msije nanyi mkahukumiwa na Mungu;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Usihukumu ili usije ukahukumiwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Usihukumu ili usije ukahukumiwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 7:1
13 Marejeleo ya Msalaba  

Lisikilizeni neno la BWANA, ninyi mtetemekao kwa sababu ya neno lake; Ndugu zenu wawachukiao ninyi, waliowatupa kwa ajili ya jina langu, wamesema, Na atukuzwe BWANA, tupate kuiona furaha yenu; lakini watatahayarika.


Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.


Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako.


Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa; msilaumu, nanyi hamtalaumiwa; sameheni, nanyi mtasamehewa.


Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii?


Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.


Ndugu zangu, msiwe waalimu wengi, mkijua ya kuwa mtapata hukumu kubwa zaidi.