Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 6:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

nami nawaambia, ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo la hayo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini nawaambieni, hata Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata kuvikwa vizuri kama ua mojawapo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini nawaambieni, hata Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata kuvikwa vizuri kama ua mojawapo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini nawaambieni, hata Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata kuvikwa vizuri kama ua mojawapo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini nawaambia, hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo ya hayo maua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini nawaambia, hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo ya hayo maua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

nami nawaambia, ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo la hayo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 6:29
5 Marejeleo ya Msalaba