Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 4:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

ili litimie neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ili kutimiza neno lililonenwa na nabii Isaya, aliposema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ili kutimiza unabii wa nabii Isaya, kama alivyosema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ili litimie neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 4:14
15 Marejeleo ya Msalaba  

Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii akisema,


akakaa huko hadi Herode alipokufa; ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii, akisema, Kutoka Misri nilimwita mwanangu.


akaenda, akakaa katika mji ulioitwa Nazareti; ili litimie neno lililonenwa na manabii, Ataitwa Mnazareti.


Yatatimizwaje basi maandiko, ya kwamba hivyo ndivyo vilivyopasa kujiri?


Lakini haya yote yamekuwa, ili maandiko ya manabii yatimizwe. Ndipo wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.


akatoka Nazareti, akaja akakaa Kapernaumu, mji ulioko pwani, mipakani mwa Zabuloni na Naftali;


Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, Njia ya bahari, ng'ambo ya Yordani, Galilaya ya mataifa,


ili litimie lile neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema, Mwenyewe aliutwaa udhaifu wetu, Na kuyachukua magonjwa yetu.


Kwa kuwa nawaambia, hayo yaliyoandikwa hayana budi kutimizwa kwangu; ya kuwa, Alihesabiwa pamoja na wahalifu. Kwa sababu yanipasayo yanao mwisho wake.


Kisha akawaambia, Hayo ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa ningali pamoja nanyi, ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya Musa, na katika vitabu vya Manabii na Zaburi.


Lakini litimie lile neno lililoandikwa katika torati yao, Walinichukia bure.


Baada ya hayo Yesu, hali akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizika ili andiko litimizwe, akasema, Naona kiu.