Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakafanya shauri, wakavitumia kwa kununua shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wakashauriana, wakazitumia kununua shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wakashauriana, wakazitumia kununua shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wakashauriana, wakazitumia kununua shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo basi, baada ya kushauriana, waliamua kuzitumia kununulia shamba la mfinyanzi, liwe mahali pa kuzikia wageni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo baada ya kushauriana, waliamua kuzitumia kununulia shamba la mfinyanzi, liwe mahali pa kuzikia wageni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakafanya shauri, wakavitumia kwa kununua shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:7
2 Marejeleo ya Msalaba  

Wakuu wa makuhani wakavitwaa vile vipande vya fedha, wakasema, Si halali kuviweka katika sanduku ya sadaka, kwa kuwa ni fedha ya damu.


Kwa hiyo shamba lile huitwa shamba la damu hata leo.