Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakaweka juu ya kichwa chake mashitaka yake, yaliyoandikwa HUYU NI YESU, MFALME WA WAYAHUDI.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Juu ya kichwa chake wakaweka shtaka dhidi yake lililoandikwa, “Huyu ni Yesu, Mfalme wa Wayahudi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Juu ya kichwa chake wakaweka shtaka dhidi yake lililoandikwa, “Huyu ni Yesu, Mfalme wa Wayahudi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Juu ya kichwa chake wakaweka shtaka dhidi yake lililoandikwa, “Huyu ni Yesu, Mfalme wa Wayahudi.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Juu ya kichwa chake, kwenye msalaba, wakaandika shtaka lake hivi: Huyu ni Isa Mfalme wa Wayahudi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Juu ya kichwa chake, kwenye msalaba, wakaandika shtaka lake hivi: huyu ni isa, mfalme wa wayahudi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakaweka juu ya kichwa chake mashitaka yake, yaliyoandikwa HUYU NI YESU, MFALME WA WAYAHUDI.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:37
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati uo huo wanyang'anyi wawili wakasulubiwa pamoja naye, mmoja katika mkono wake wa kulia, na mmoja katika mkono wake wa kushoto.


Yeye ni mfalme wa Israeli; na ashuke sasa msalabani, nasi tutamwamini.


Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI.


Na juu yake palikuwa na anwani; HUYU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI.