Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 25:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

bali wale wenye busara walitwaa mafuta katika vyombo vyao pamoja na taa zao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

lakini wale wenye busara walichukua taa zao na mafuta ya akiba kwenye vyombo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

lakini wale wenye busara walichukua taa zao na mafuta ya akiba kwenye vyombo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

bali wale wenye busara walitwaa mafuta katika vyombo vyao pamoja na taa zao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 25:4
15 Marejeleo ya Msalaba  

Umeipenda haki; Umeichukia dhuluma. Kwa hiyo MUNGU, Mungu wako, amekutia mafuta, Mafuta ya furaha kuliko wenzako.


Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwamwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.


Watano wao walikuwa wapumbavu, na watano wenye busara.


Wale waliokuwa wapumbavu walizitwaa taa zao, wasitwae na mafuta pamoja nao;


Hata bwana arusi alipokawia, wote wakasinzia wakalala usingizi.


Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba;


Kwa kuwa yeye aliyetumwa na Mungu huyanena maneno ya Mungu; kwa sababu hamtoi Roho kwa kipimo.


Lakini ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.


naye ndiye aliyetutia mhuri akatupa arabuni ya Roho mioyoni mwetu.


Nanyi mmepakwa mafuta na Yeye aliye Mtakatifu nanyi mnajua nyote.


Nanyi, mafuta yale mliyoyapata kwake yanakaa ndani yenu, wala hamna haja ya mtu kuwafundisha; lakini kama mafuta yake yanavyowafundisha habari za mambo yote, tena ni kweli wala si uongo, na kama yalivyowafundisha, kaeni ndani yake.


Watu hao ndio waletao utengano, watu wa dunia hii tu, wasio na Roho.