Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 25:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Vile vile na yule mwenye mbili, yeye naye akachuma nyingine mbili faida.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hali kadhalika na yule aliyekabidhiwa talanta mbili akapata faida talanta mbili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hali kadhalika na yule aliyekabidhiwa talanta mbili akapata faida talanta mbili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hali kadhalika na yule aliyekabidhiwa talanta mbili akapata faida talanta mbili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yule aliyepewa talanta mbili akafanya vivyo hivyo, akapata nyingine mbili zaidi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yule aliyepewa talanta mbili akafanya vivyo hivyo, akapata nyingine mbili zaidi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Vile vile na yule mwenye mbili, yeye naye akachuma nyingine mbili faida.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 25:17
23 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana nimemchagua ili awaamuru wanawe na vizazi vyake baada yake wadumishe njia ya BWANA, kwa kuwa wenye haki na kweli, ili BWANA naye akamtimizie Abrahamu ahadi zake.


Naye huyo Barzilai alikuwa mzee sana, alikuwa na umri wa miaka themanini; naye amemlisha mfalme hapo alipokuwapo Mahanaimu; kwa kuwa alikuwa mtu mwenye cheo kikubwa.


Mara yule aliyepokea talanta tano akaenda, akafanya biashara nazo, akachuma faida talanta nyingine tano.


Lakini yule aliyepokea moja alikwenda akafukua chini, akaificha fedha ya bwana wake.


mtu mtauwa, mchaji wa Mungu, yeye na nyumba yake yote, naye alikuwa akiwapa watu sadaka nyingi, na kumwomba Mungu daima.


Maana, kama nia ipo, hukubaliwa kwa kadiri ya alivyo navyo mtu, si kwa kadiri ya asivyo navyo.


mkiukomboa wakati kwa maana nyakati hizi ni za uovu.


Mwambieni Arkipo, Iangalie sana huduma ile uliyopewa katika Bwana, ili uitimize.


na awe ameshuhudiwa kwa matendo mema; katika kulea watoto, kuwa mkaribishaji, kuwaosha watakatifu miguu, kuwasaidia wateswao, na kujitolea kutenda wema katika hali zote.


kila mmoja kwa kadiri alivyoipokea karama, itumieni kwa kuhudumiana; kama mawakili wema wa neema mbalimbali za Mungu.