Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 22:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

nao waliosalia wakawakamata watumwa wake, wakawadhulumu na kuwaua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na wengine wakawakamata wale watumishi wakawatukana, wakawaua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na wengine wakawakamata wale watumishi wakawatukana, wakawaua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na wengine wakawakamata wale watumishi wakawatukana, wakawaua.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wengine wao wakawakamata wale watumishi wake, wakawatesa na kuwaua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wengine wao wakawakamata wale watumishi wake, wakawatesa na kuwaua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

nao waliosalia wakawakamata watumwa wake, wakawadhulumu na kuwaua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 22:6
16 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini hawakujali, wakaenda zao, mmoja shambani kwake, mmoja kwenye biashara yake;


Basi yule mfalme akaghadhibika; akatuma majeshi yake, akawaangamiza wauaji wale, akauteketeza mji wao.


Kwa kuwa atatiwa mikononi mwa Mataifa, atafanyiwa dhihaka; atatendwa jeuri, na kutemewa mate;


Siku ile kukatokea mateso makuu kwa kanisa lililokuwa katika Yerusalemu; wote wakatawanyika katika nchi ya Yudea na Samaria, isipokuwa hao mitume.


Wakumbukeni hao waliofungwa kana kwamba mmefungwa pamoja nao; na hao wanaodhulumiwa, kwa vile ninyi nanyi mlivyo katika mwili.