Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 18:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

nawe, je! Haikukupasa kumrehemu mtumwa mwenzako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, haikukupasa kumhurumia mtumishi mwenzako kama mimi nilivyokuhurumia wewe?’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, haikukupasa kumhurumia mtumishi mwenzako kama mimi nilivyokuhurumia wewe?’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

nawe, je! Haikukupasa kumrehemu mtumwa mwenzako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 18:33
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo bwana wake akamwita, akamwambia, Ewe mtumwa mwovu, nilikusamehe wewe deni ile yote, uliponisihi;


Bwana wake akaghadhibika, akampeleka kwa watesaji, hata atakapoilipa deni ile yote.


Heri wenye rehema; Maana hao watapata rehema.


Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.


tena iweni wafadhili ninyi kwa ninyi, wenye huruma, mkasameheane kama Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.


mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo na ninyi.