Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 15:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akamjibu, “Si vizuri kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akamjibu, “Si vizuri kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akamjibu, “Si vizuri kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akajibu, “Si haki kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akajibu, “Si haki kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 15:26
10 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.


Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yaangukayo mezani pa bwana zao.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.


ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake;


Sisi tulio Wayahudi kwa asili, wala si wa Mataifa wenye dhambi,


kwamba zamani zile mlikuwa hamna Kristo, mmefarakana na jamii ya Israeli, wageni wasio wa maagano ya ahadi ile. Mlikuwa hamna tumaini, hamna Mungu duniani.


Jihadharini na mbwa, jihadharini na watendao mabaya, jihadharini na wajikatao.


Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.