Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 15:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akajibu, “Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akajibu, “Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akajibu, “Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akajibu, “Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli waliopotea.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akajibu, “Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli waliopotea.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 15:24
13 Marejeleo ya Msalaba  

Sisi sote kama kondoo tumepotea; Kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe; Na BWANA ameweka juu yake Maovu yetu sisi sote.


Nami nitawatafuta waliopotea, nitawarudisha waliotangatanga, nitawatibu waliojeruhiwa, nitawatia nguvu wagonjwa; nao wanono na wenye nguvu nitawaharibu; nitawalisha hukumu.


Nami nitaweka mchungaji mmoja juu yao, naye atawalisha, naam, mtumishi wangu, Daudi; yeye atawalisha, naye atakuwa mchungaji wao.


Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake; kwa kuwa anaendelea kutupigia makelele nyuma yetu.


Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.]


Na alipowaona makutano, aliwahurumia, kwa sababu walikuwa wamechoka na kutawanyika kama kondoo wasio na mchungaji.


Paulo na Barnaba wakanena kwa ushujaa wakasema, Ilikuwa lazima neno la Mungu linenwe kwenu kwanza; lakini kwa kuwa mnalisukumia mbali, na kujiona ninyi wenyewe kuwa hamkustahili uzima wa milele, angalieni, twawageukia Mataifa.


Kwa maana nasema, ya kwamba Kristo amefanyika mhudumu wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli ya Mungu, kusudi azithibitishe ahadi walizopewa baba zetu;