Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi ninyi sikilizeni mfano wa mpanzi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Basi, nyinyi sikilizeni maana ya mfano huo wa mpanzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Basi, nyinyi sikilizeni maana ya mfano huo wa mpanzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Basi, nyinyi sikilizeni maana ya mfano huo wa mpanzi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Sikilizeni basi maana ya ule mfano wa mpanzi:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Sikilizeni basi maana ya ule mfano wa mpanzi:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi ninyi sikilizeni mfano wa mpanzi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Yesu akawaaga makutano, akaingia katika nyumba; wanafunzi wake wakamwendea, wakasema, Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.


Naye alipokuwa peke yake, wale watu waliomzunguka, na wale Kumi na Wawili, walimwuliza kuhusu ile mifano.