Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 9:42 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ikajulikana katika mji mzima wa Yafa; watu wengi wakamwamini Bwana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Habari za tukio hili zilienea kila mahali huko Yopa, na watu wengi wakamwamini Bwana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Habari za tukio hili zilienea kila mahali huko Yopa, na watu wengi wakamwamini Bwana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Habari za tukio hili zilienea kila mahali huko Yopa, na watu wengi wakamwamini Bwana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Habari hizi zikajulikana sehemu zote za Yafa na watu wengi wakamwamini Bwana Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Habari hizi zikajulikana sehemu zote za Yafa na watu wengi wakamwamini Bwana Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikajulikana katika mji mzima wa Yafa; watu wengi wakamwamini Bwana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 9:42
17 Marejeleo ya Msalaba  

nasi tutakata miti katika Lebanoni, kadiri utakavyohitaji; na kukuletea tukiieleza baharini mpaka Yafa; nawe utaipeleka Yerusalemu.


Lakini Yona akaondoka akimbilie Tarshishi, apate kujiepusha na uso wa BWANA; akateremka hadi Yafa, akaona merikebu inayokwenda Tarshishi; basi, akalipa nauli, akapanda merikebuni, aende pamoja nao Tarshishi, ajiepushe na uso wa BWANA.


Naye Yesu aliposikia, alisema, Ugonjwa huu si wa mauti, bali ni kwa ajili ya utukufu wa Mungu, ili Mwana wa Mungu atukuzwe kwa huo.


Basi wengi katika Wayahudi waliokuja kwa Mariamu, na kuyaona yale aliyoyafanya, wakamwamini.


maana kwa ajili yake wengi katika Wayahudi walijitenga, wakamwamini Yesu.


Naye Yesu akapaza sauti, akasema, Yeye aniaminiye mimi, haniamini mimi bali yeye aliyenituma.


Sasa basi, tuma watu Yafa, ukamwite Simoni, aitwaye Petro.


na alipokwisha kuwaeleza mambo yote akawatuma kwenda Yafa.


akatueleza jinsi alivyomwona malaika aliyesimama nyumbani mwake na kumwambia, Tuma watu kwenda Yafa ukamwite Simoni aitwaye Petro,


Mkono wa Bwana ukawa pamoja nao, watu wengi wakaamini, wakamwelekea Bwana.


Nilikuwa katika mji wa Yafa, nikiomba, roho yangu ikazimia, nikaona maono; chombo kinashuka, kama nguo kubwa inateremshwa kutoka mbinguni kwa pembe zake nne, kikanifikia.


Na watu wote waliokaa Lida na Sharoni wakamwona, wakamgeukia Bwana.


Na mwanafunzi mmoja alikuwako Yafa, jina lake Tabitha, tafsiri yake ni Dorkasi (yaani paa); mwanamke huyu alikuwa amejaa matendo mema na sadaka alizozitoa.


Na kwa kuwa mji wa Lida ulikuwa karibu na Yafa, nao wanafunzi waliosikia ya kwamba Petro yuko huko, wakatuma watu wawili kwake, kumsihi na kusema, Njoo kwetu pasipo kukawia.


Basi Petro akakaa siku kadhaa huko Yafa, nyumbani mwa mtu mmoja, jina lake Simoni, mtengenezaji wa ngozi.


Meyarkoni na Rakoni, pamoja na huo mpaka uliokuwa mkabala wa Yafa.