Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 8:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

akawa akirudi nyumbani, akiwa ameketi garini mwake akisoma kitabu cha nabii Isaya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alipokuwa anasafiri, alikuwa akijisomea kitabu cha nabii Isaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alipokuwa anasafiri, alikuwa akijisomea kitabu cha nabii Isaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alipokuwa anasafiri, alikuwa akijisomea kitabu cha nabii Isaya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

naye akiwa njiani kurudi nyumbani alikuwa ameketi kwenye gari lake la vita akisoma kitabu cha nabii Isaya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

naye akiwa njiani kurudi nyumbani alikuwa ameketi garini mwake akisoma kitabu cha nabii Isaya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

akawa akirudi nyumbani, akiwa ameketi garini mwake akisoma kitabu cha nabii Isaya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 8:28
19 Marejeleo ya Msalaba  

Shuhuda zako nimezifanya urithi wa milele, Maana ndizo changamko la moyo wangu.


Ninazo akili kuliko waalimu wangu wote, Maana shuhuda zako ndizo nizifikirizo.


Haya ni maono ya Isaya, mwana wa Amozi aliyoyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu, siku za Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda.


kama ilivyoandikwa katika kitabu cha maneno ya nabii Isaya; Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya Bwana, Yanyosheni mapito yake.


Akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua kitabu, akapata mahali palipoandikwa,


Na walipokuwa hawapatani wao kwa wao, wakaenda zao, Paulo alipokwisha kusema neno hili moja, ya kwamba, Roho Mtakatifu alinena vema na baba zetu, kwa kinywa cha nabii Isaya,


Naye akaondoka, akaenda; mara akamwona mtu wa Kushi, towashi, mwenye mamlaka chini ya Kandake malkia wa Kushi, aliyesimamia hazina yake yote; naye alikuwa amekwenda Yerusalemu kuabudu,


Roho akamwambia Filipo, Sogea karibu na gari hili, ukaribiane nalo.


Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.


Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku, upate kuangalia kutenda kulingana na maneno yote yaliyoandikwa humo; maana ndipo utakapoifanikisha njia yako, kisha ndipo utakapositawi sana.