Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 8:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

ambao waliposhuka, wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walipofika waliwaombea hao waumini ili wampokee Roho Mtakatifu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walipofika waliwaombea hao waumini ili wampokee Roho Mtakatifu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walipofika waliwaombea hao waumini ili wampokee Roho Mtakatifu;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nao walipofika wakawaombea ili wampokee Roho Mtakatifu wa Mungu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nao walipofika wakawaombea ili wampokee Roho wa Mwenyezi Mungu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ambao waliposhuka, wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 8:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tena nawaambia, ya kwamba wawili wenu watakapopatana duniani katika jambo lolote watakaloliomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni.


akawauliza, Je! Mlipokea Roho Mtakatifu mlipoamini? Wakamjibu, La, hata kusikia kwamba kuna Roho Mtakatifu hatukusikia.


Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.


Kwa sababu hiyo yeye anenaye kwa lugha na aombe apewe kufasiri.


Maana najua ya kuwa haya yatanigeukia kuwa wokovu wangu, kwa sababu ya kuomba kwenu, na kuruzukiwa Roho wa Yesu Kristo;