Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 7:47 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini Sulemani alimjengea nyumba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Solomoni ndiye aliyemjengea Mungu nyumba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Solomoni ndiye aliyemjengea Mungu nyumba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Solomoni ndiye aliyemjengea Mungu nyumba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Sulemani ndiye aliyemjengea Mungu nyumba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini alikuwa Sulemani ndiye alimjengea Mwenyezi Mungu nyumba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini Sulemani alimjengea nyumba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 7:47
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa jina langu, nacho kiti cha enzi cha ufalme wake nitakiimarisha milele.


Ndipo Hiramu, mfalme wa Tiro, akawatuma watumishi wake kwa Sulemani; kwani alikuwa amesikia ya kwamba wamemtia mafuta awe mfalme mahali pa baba yake. Kwa maana Hiramu alikuwa akimpenda Daudi siku zote.


Ikawa katika mwaka wa mia nne na themanini baada ya wana wa Israeli kutoka nchini Misri, katika mwaka wa nne wa kutawala kwake Sulemani juu ya Israeli, katika mwezi wa Zivu, ndio mwezi wa pili, akaanza kuijenga nyumba ya BWANA.


Basi BWANA amelitimiza neno lile alilolinena; nami nimesimama mahali pa Daudi baba yangu, na kuketi katika kiti cha enzi cha Israeli, kama BWANA alivyoahidi, nami nimeijenga nyumba kwa jina la BWANA, Mungu wa Israeli.


Ikawa, Daudi alipokuwa akikaa nyumbani mwake, Daudi akamwambia nabii Nathani, Angalia, mimi ninakaa katika nyumba ya mwerezi, bali sanduku la Agano la BWANA linakaa chini ya mapazia.


Ndipo Sulemani akaanza kuijenga nyumba ya BWANA huko Yerusalemu, juu ya mlima Moria, pale BWANA alipomtokea Daudi babaye alipotengeza mahali pale alipoagiza Daudi, katika kiwanja cha kupuria cha Arauna Myebusi.