Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 7:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakati alipotupwa, binti Farao akamtwaa, akamlea awe kama mwanawe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na alipotolewa nje, binti wa Farao alimchukua, akamlea kama mtoto wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na alipotolewa nje, binti wa Farao alimchukua, akamlea kama mtoto wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na alipotolewa nje, binti wa Farao alimchukua, akamlea kama mtoto wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipomweka nje mtoni, binti Farao akamchukua akamlea kama mtoto wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Waliposhindwa kumficha zaidi, wakamweka nje mtoni na binti Farao akamchukua akamtunza kama mtoto wake mwenyewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakati alipotupwa, binti Farao akamtwaa, akamlea awe kama mwanawe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 7:21
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nilisema, Ningewatawanyia mbali, Ningekomesha kumbukumbu lao kati ya wanadamu;


Kwa imani Musa alipokuwa mtu mzima, akakataa kuitwa mwana wa binti Farao;