Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 7:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi Yakobo akashuka mpaka Misri; akafa yeye na baba zetu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo, Yakobo alikwenda Misri ambako yeye na babu zetu wengine walikufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo, Yakobo alikwenda Misri ambako yeye na babu zetu wengine walikufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo, Yakobo alikwenda Misri ambako yeye na babu zetu wengine walikufa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo Yakobo akaenda Misri ambako yeye na baba zetu walifia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo Yakobo akaenda Misri ambako yeye na baba zetu walifia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Yakobo akashuka mpaka Misri; akafa yeye na baba zetu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 7:15
13 Marejeleo ya Msalaba  

Israeli Akasafiri, pamoja na yote aliyokuwa nayo, akaja Beer-sheba, akamchinjia sadaka Mungu wa Isaka babaye.


Lakini nitakapolala pamoja na baba zangu, unichukue toka Misri, unizike katika kaburi lao. Akasema, Nitafanya kama ulivyosema.


Basi Yakobo alipokwisha kuwaagiza wanawe, akakunja miguu yake kitandani, akafa, akakusanywa pamoja na watu wake.


Israeli naye akaingia Misri, Yakobo akawa mgeni katika nchi ya Hamu.


Yusufu akafa, na ndugu zake wote, na watu wote wa kizazi kile.


Musa akaichukua ile mifupa ya Yusufu pamoja naye; maana, alikuwa amewaapisha sana wana wa Israeli, akisema, Mungu hana budi atawajia ninyi; nanyi mtaichukua mfupa yangu kutoka hapa pamoja nanyi.


jinsi baba zetu walivyoteremkia Misri, nasi tulikaa Misri muda mrefu, nao Wamisri walitutenda vibaya sana, na baba zetu pia;


Baba zako walienda Misri wakiwa watu sabini; na sasa BWANA, Mungu wako, amekufanya kama nyota za mbinguni kwa wingi.


Nawe ujibu, ukaseme mbele za BWANA, Mungu wako, Baba yangu alikuwa Mwarami karibu na kupotea, akashuka Misri, akakaa huko ugenini, nao ni wachache hesabu yao; akawa taifa kubwa huko, yenye nguvu na watu wengi.


Na hiyo mifupa ya Yusufu, ambayo wana wa Israeli walikuwa wameileta kutoka Misri, wakaizika huko Shekemu katika ile sehemu ya nchi, Yakobo aliyoinunua kwa wana wa Hamori, babaye Shekemu, kwa vipande mia moja vya fedha; nayo ikawa ni urithi wa wana wa Yusufu.


Kisha nikampa huyo Isaka, Yakobo na Esau; nami nikampa Esau mlima Seiri aumiliki; Yakobo na watoto wake wakashuka Misri.