Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 7:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kuhani Mkuu akasema, Je! Mambo hayo ndivyo yalivyo?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, kuhani mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, kuhani mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, kuhani mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo kuhani mkuu akamuuliza Stefano, “Je, mashtaka haya ni ya kweli?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo kuhani mkuu akamuuliza Stefano, “Je, mashtaka haya ni ya kweli?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kuhani Mkuu akasema, Je! Mambo hayo ndivyo yalivyo?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 7:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Watu wote walioketi katika ile baraza wakamkazia macho yao, wakamwona uso wake kuwa kama uso wa malaika.


Naye akasema, Ndugu zangu na baba zangu, sikilizeni: Mungu wa utukufu alimtokea baba yetu Abrahamu, alipokuwa katika Mesopotamia, kabla hajakaa Harani,