Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 5:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Vijana wakaondoka, wakamtia katika sanda, wakamchukua nje, wakamzika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Vijana wakafika, wakaufunika mwili wake, wakamtoa nje, wakamzika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Vijana wakafika, wakaufunika mwili wake, wakamtoa nje, wakamzika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Vijana wakafika, wakaufunika mwili wake, wakamtoa nje, wakamzika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Vijana wakaja, wakaufunga mwili wake sanda, wakampeleka nje kumzika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Vijana wakaja, wakaufunga mwili wake sanda, wakamchukua nje kumzika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Vijana wakaondoka, wakamtia katika sanda, wakamchukua nje, wakamzika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 5:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakamtwaa Absalomu wakamtupa katika shimo kubwa mle msituni, wakaweka juu yake rundo kubwa sana la mawe; kisha Israeli wote wakakimbia kila mtu hemani mwake.


Basi wakautwaa mwili wake Yesu, wakaufunga sanda ya kitani pamoja na yale manukato, kama ilivyo desturi ya Wayahudi katika kuzika.


Hata muda wa saa tatu baadaye mkewe akaingia, naye hana habari ya hayo yaliyotokea.


mzoga wake usikae usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu; usije ukatia unajisi katika nchi yako akupayo BWANA, Mungu wako, iwe urithi wako.