Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 4:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

alikuwa na shamba akaliuza, akaileta fedha, akaiweka miguuni pa mitume.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

aliuza shamba alilokuwa nalo, akaleta hizo fedha alizopata na kuziweka miguuni pa mitume.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

aliuza shamba alilokuwa nalo, akaleta hizo fedha alizopata na kuziweka miguuni pa mitume.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

alikuwa na shamba akaliuza, akaileta fedha, akaiweka miguuni pa mitume.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 4:37
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele.


Na wote walioamini walikuwa mahali pamoja, na kuwa na vitu vyote kishirika,