Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 28:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yalipokwisha kutendeka hayo wengine waliokuwa na magonjwa katika kisiwa wakaja wakaponywa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kutokana na tukio hilo, wagonjwa wote katika kile kisiwa walikuja wakaponywa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kutokana na tukio hilo, wagonjwa wote katika kile kisiwa walikuja wakaponywa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kutokana na tukio hilo, wagonjwa wote katika kile kisiwa walikuja wakaponywa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Jambo hili lilipotukia, watu wote wa kisiwa kile waliokuwa wagonjwa wakaja, nao wakaponywa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Jambo hili lilipotukia, watu wote wa kisiwa kile waliokuwa wagonjwa wakaja, nao wakaponywa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yalipokwisha kutendeka hayo wengine waliokuwa na magonjwa katika kisiwa wakaja wakaponywa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 28:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na habari zake zikaenea katika Shamu yote; wakamletea wote waliokuwa wagonjwa, walioshikwa na maradhi mbalimbali na mateso, wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Walipokwisha kupita katikati ya kisiwa chote mpaka Pafo, wakaona mtu mmoja, mchawi, nabii wa uongo, Myahudi jina lake Bar-Yesu;


nao wakatuheshimu kwa heshima nyingi; basi tulipoabiri wakatupakilia vitu vile tulivyokuwa na haja navyo.


Ikawa babake Publio alikuwa akiugua homa na kuhara damu. Paulo akaingia kwake, akaomba, akaweka mikono yake juu yake, na kumponya.


Na kwa mikono ya mitume zikafanyika ishara na maajabu mengi katika watu; nao wote walikuwako kwa nia moja katika ukumbi wa Sulemani;


hata ikawa katika njia kuu hutoa nje wagonjwa, na kuwaweka juu ya mikeka na magodoro, ili Petro akija, ngawa kivuli chake kimwangukie mmojawapo wao.