Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 27:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi askari wakazikata kamba za mashua, wakaiacha ianguke.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo basi wale askari wakakata kamba zilizoshikilia ile mashua ya kuokolea watu kwenye meli, wakaiacha ianguke humo baharini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo basi wale askari wakakata kamba zilizoshikilia ile mashua ya kuokolea watu kwenye meli, wakaiacha ianguke humo baharini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi askari wakazikata kamba za mashua, wakaiacha ianguke.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 27:32
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yule bwana akamsifu wakili asiyemwaminifu kwa vile alivyotenda kwa busara; kwa kuwa wana wa ulimwengu huu katika kizazi chao wenyewe huwa na busara kuliko wana wa nuru.


Akasokota kikoto cha kamba, akawatoa wote katika hekalu, na kondoo na ng'ombe; akamwaga fedha za wenye kuvunja fedha, akazipindua meza zao;


Paulo akawaambia ofisa na askari, Hawa wasipokaa ndani ya merikebu hamtaweza kuokoka.


Na kulipokuwa kukipambazuka Paulo akawasihi wote wale chakula, akisema, Leo ni siku ya kumi na nne kungoja na kufunga, hamkula kitu chochote.