Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 27:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na kwa maana tulikuwa tukipigwa sana na ile tufani, kesho yake wakaanza kuitupa shehena baharini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Dhoruba iliendelea kuvuma na kesho yake wakaanza kutupa nje shehena ya meli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Dhoruba iliendelea kuvuma na kesho yake wakaanza kutupa nje shehena ya meli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Dhoruba iliendelea kuvuma na kesho yake wakaanza kutupa nje shehena ya meli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tulikuwa tunapigwa na dhoruba kwa nguvu, kiasi kwamba kesho yake walianza kutupa shehena toka kwenye meli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tulikuwa tunapigwa na dhoruba kwa nguvu, kiasi kwamba kesho yake walianza kutupa shehena toka melini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kwa maana tulikuwa tukipigwa sana na ile tufani, kesho yake wakaanza kuitupa shehena baharini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 27:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

Waliyumbayumba, walipepesuka kama mlevi, Ujuzi wao wote uliwaishia.


Basi wale mabaharia wakaogopa, kila mtu akamwomba mungu wake; nao wakatupa baharini shehena iliyokuwa merikebuni, ili kuupunguza uzito wake. Lakini Yona alikuwa ameshuka hadi pande za ndani za merikebu; akajilaza, akapata usingizi.


Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kuipoteza nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?


Kwa kuwa maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi.


Yule bwana akamsifu wakili asiyemwaminifu kwa vile alivyotenda kwa busara; kwa kuwa wana wa ulimwengu huu katika kizazi chao wenyewe huwa na busara kuliko wana wa nuru.


Siku ya tatu wakatupa vyombo vya merikebu kwa mikono yao wenyewe.


Walipokwisha kushiba wakaipunguza shehena ya merikebu, wakiitupa ngano baharini.


Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa subira katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,