Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 26:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa nini limedhaniwa kwenu kuwa ni neno lisiloaminika, kwamba Mungu awafufua wafu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa nini nyinyi mnaona shida sana kuamini kwamba Mungu huwafufua wafu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa nini nyinyi mnaona shida sana kuamini kwamba Mungu huwafufua wafu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa nini nyinyi mnaona shida sana kuamini kwamba Mungu huwafufua wafu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa nini yeyote miongoni mwenu afikiri kwamba ni jambo lisilosadikika Mungu kufufua wafu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa nini yeyote miongoni mwenu afikiri kwamba ni jambo lisilosadikika Mungu kufufua wafu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa nini limedhaniwa kwenu kuwa ni neno lisiloaminika, kwamba Mungu awafufua wafu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 26:8
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kuna neno gani lililo gumu la kumshinda BWANA? Kwa muhula wake nitakurudia, wakati huu huu mwakani, na Sara atapata mwana wa kiume.


kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.


Akasema, Yasiyowezekana kwa wanadamu yawezekana kwa Mungu.


Paulo alipotambua ya kuwa sehemu moja ni Masadukayo, na sehemu ya pili ni Mafarisayo, akapaza sauti yake katika ile baraza, Ndugu zangu, mimi ni Farisayo mwana wa Farisayo; mimi ninahukumiwa kwa ajili ya tumaini la ufufuo wa wafu.


bali walikuwa na maswali tofauti tofauti juu yake katika dini yao wenyewe, na kuhusu mtu mmoja Yesu, aliyekuwa amekwisha kufa, ambaye Paulo alikazania kusema kuwa yuko hai.


wakifadhaika sana kwa sababu wanawafundisha watu na kuhubiri kuwa katika Yesu kuna ufufuo wa wafu.


Tumieni akili kama ipasavyo, wala msitende dhambi; kwa maana wengine hawamjui Mungu. Ninanena hayo niwafedheheshe.


atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote viwe chini yake.