Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 24:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wala hawawezi kuyahakikisha mambo haya wanayonishitaki sasa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wala hawawezi kuthibitisha mashtaka waliyotoa juu yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wala hawawezi kuthibitisha mashtaka waliyotoa juu yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wala hawawezi kuthibitisha mashtaka waliyotoa juu yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wala hawawezi kabisa kukuthibitishia mashtaka haya wanayoleta dhidi yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wala hawawezi kabisa kukuthibitishia mashtaka haya wanayonishtaki kwayo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala hawawezi kuyahakikisha mambo haya wanayonishitaki sasa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 24:13
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alipokuwa katika lango la Benyamini, mkuu wa walinzi alikuwapo, jina lake Iriya, mwana wa Shelemia, mwana wa Hanania; akamkamata Yeremia, nabii, akisema, Unakwenda kujiunga na Wakaldayo.


Ndipo wale watu wakasema, Hatutapata sababu ya kumshitaki Danieli huyo, tusipoipata katika mambo ya sheria ya Mungu wake.


Alipokuja, wale Wayahudi walioshuka kutoka Yerusalemu wakasimama karibu naye wakaleta mashitaka mengi mazito juu yake, wasiyoweza kuyayakinisha.


Nanyi muwe na dhamiri njema, ili katika neno lile mnalosingiziwa, watahayarishwe wale wautukanao mwenendo wenu mwema katika Kristo.