Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 23:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wale walipofika Kaisaria, na kumpa mtawala ile barua, wakamweka Paulo mbele yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walipofika Kaisarea walimpa mkuu wa mkoa ile barua na kumweka Paulo chini ya mamlaka yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walipofika Kaisarea walimpa mkuu wa mkoa ile barua na kumweka Paulo chini ya mamlaka yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walipofika Kaisarea walimpa mkuu wa mkoa ile barua na kumweka Paulo chini ya mamlaka yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Askari walipofika Kaisaria, walimpa mtawala ile barua, na kumkabidhi Paulo kwake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Askari walipofika Kaisaria, walimpa mtawala ile barua, na kumkabidhi Paulo kwake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wale walipofika Kaisaria, na kumpa mtawala ile barua, wakamweka Paulo mbele yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 23:33
7 Marejeleo ya Msalaba  

Klaudio Lisia kwa mtawala mtukufu Feliki, Salamu!


Baada ya siku tano, Anania, Kuhani Mkuu, akateremka na baadhi ya wazee pamoja naye, na msemi mmoja, Tertulo, nao wakamweleza mtawala habari za Paulo.


basi tunayapokea kila wakati na kila mahali, kwa shukrani yote.


Na walipokaa huko siku kadhaa, Festo akamweleza mfalme habari za Paulo, akisema, Yupo hapa mtu mmoja aliyeachwa na Feliki kifungoni;


Tulipoingia Rumi Paulo alipewa ruhusa kukaa kwake mwenyewe pamoja na askari aliyemlinda.


Lakini Filipo akaonekana katika Azota, na alipokuwa akipita akahubiri Injili katika miji yote, hadi akafika Kaisaria.