Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 23:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nami nikitaka kulijua lile neno walilomshitakia, nikamteremsha nikamweka mbele ya baraza;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nilimpeleka mbele ya Baraza lao kuu nikitaka kujua kisa cha mashtaka yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nilimpeleka mbele ya Baraza lao kuu nikitaka kujua kisa cha mashtaka yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nilimpeleka mbele ya Baraza lao kuu nikitaka kujua kisa cha mashtaka yao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nilitaka kujua kwa nini walikuwa wanamshutumu, hivyo nikamleta mbele ya Baraza la Wayahudi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nilitaka kujua kwa nini walikuwa wanamshutumu, hivyo nikamleta mbele ya baraza lao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami nikitaka kulijua lile neno walilomshitakia, nikamteremsha nikamweka mbele ya baraza;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 23:28
4 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mimi nawaambieni, Kila amkasirikiaye ndugu yake itampasa hukumu; na mtu akimtusi ndugu yake, anastahili kuhukumiwa na baraza; na mtu akimwambia nduguye, Ewe mpumbavu, anastahili kuingia katika moto wa Jehanamu.


Kesho yake akitaka kujua hakika, ni kwa sababu gani ameshitakiwa na Wayahudi, akamfungua, akawaamuru wakuu wa makuhani na baraza yote wakutane. Akamleta Paulo chini, akamweka mbele yao.


Paulo akawakazia macho watu wa baraza, akasema, Ndugu zangu, mimi kwa dhamiri safi kabisa nimeishi mbele za Mungu hata leo hivi.


Ugomvi mkubwa ulipotokea, yule jemadari akahofia Paulo asije akararuliwa nao, akaamuru askari washuke na kumwondoa kwa nguvu mikononi mwao, na kumleta ndani ya ngome.