Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 23:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na hao walioapiana hivyo walikuwa zaidi ya watu arubaini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu zaidi ya arubaini ndio waliokula njama kufanya hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu zaidi ya arubaini ndio waliokula njama kufanya hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu zaidi ya arubaini ndio waliokula njama kufanya hivyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Waliofanya mpango huo walikuwa zaidi ya watu arobaini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Waliofanya mpango huo walikuwa zaidi ya watu arobaini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hao walioapiana hivyo walikuwa zaidi ya watu arobaini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 23:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

Absalomu alipokuwa akitoa dhabihu alituma Ahithofeli Mgiloni, Mshauri wake Daudi, aitwe kutoka mji wake, yaani, Gilo. Njama zao zikawa na nguvu; maana watu waliokuwa pamoja na Absalomu walizidi kuongezeka.


Mtu mmoja akamwambia Daudi ya kwamba, Ahithofeli yu katika hao waliopatana na Absalomu; Daudi akasema, Ee BWANA, nakusihi, uugeuze ushauri wa Ahithofeli uwe ubatili.


Watawatenga na masinagogi; naam, saa inakuja kila mtu awauaye atakapodhania ya kuwa anamfanyia Mungu ibada.


Kulipopambazuka, Wayahudi wakafanya mapatano, wakajifunga kwa kiapo kwamba hawatakula wala hawatakunywa hadi wamwue Paulo.


Nao wakaenda kwa wakuu wa makuhani na wazee, wakasema, Tumejifunga kwa kiapo tusionje kitu hata tumwue Paulo.