Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 22:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Walipokuwa wakipiga kelele na kutupa mavazi yao na kurusharusha mavumbi juu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waliendelea kupayukapayuka huku wakitikisa makoti yao na kurusha vumbi angani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waliendelea kupayukapayuka huku wakitikisa makoti yao na kurusha vumbi angani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waliendelea kupayukapayuka huku wakitikisa makoti yao na kurusha vumbi angani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipokuwa wakipiga kelele na kutoa mavazi yao huku wakirusha mavumbi juu hewani,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walipokuwa wakipiga kelele na kutoa mavazi yao huku wakirusha mavumbi juu hewani,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Walipokuwa wakipiga kelele na kutupa mavazi yao na kurusharusha mavumbi juu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 22:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakaendelea njiani Daudi na watu wake; Shimei naye akaaendelea juu ya ubavu wa kile kilima, kwa kumkabili, huku akiendelea, akilaani, akimtupia mawe, na kurusha mavumbi.


Naam, huyo mpumbavu tena, aendapo njiani, hupungukiwa na fahamu zake; hata humwambia kila mtu ya kuwa yeye ni mpumbavu.


Naye alipokuwa akitembea kando ya bahari ya Galilaya, aliona ndugu wawili, Simoni aitwaye Petro, na Andrea nduguye, wakitupa jarife baharini; kwa maana walikuwa wavuvi.


Na mara nyingi katika masinagogi yote niliwaadhibu, nikawashurutisha kukufuru; nikawaonea hasira kama mwenye wazimu, nikawaudhi hata katika miji ya ugenini.


ninyi mlioipokea torati kwa agizo la malaika msiishike.


wakamtoa nje ya mji, wakampiga kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka nguo zao miguuni pa kijana mmoja aliyeitwa Sauli.