Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 21:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hata kesho yake Paulo akaingia kwa Yakobo pamoja nasi, na wazee wote walikuwako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kesho yake Paulo alikwenda pamoja nasi kumwamkia Yakobo, na wazee wote wa kanisa walikuwapo pia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kesho yake Paulo alikwenda pamoja nasi kumwamkia Yakobo, na wazee wote wa kanisa walikuwapo pia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kesho yake Paulo alikwenda pamoja nasi kumwamkia Yakobo, na wazee wote wa kanisa walikuwapo pia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kesho yake Paulo pamoja na wengine wetu tulienda kumwona Yakobo, na wazee wote walikuwako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kesho yake Paulo pamoja na wengine wetu tulikwenda kumwona Yakobo, na wazee wote walikuwepo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata kesho yake Paulo akaingia kwa Yakobo pamoja nasi, na wazee wote walikuwako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 21:18
12 Marejeleo ya Msalaba  

Na majina ya hao mitume kumi na wawili ni haya; Wa kwanza Simoni aliyeitwa Petro, na Andrea nduguye; Yakobo wa Zebedayo, na Yohana nduguye;


Wakafanya hivyo, wakawapelekea wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.


Naye akawapungia mkono wanyamaze, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa katika gereza. Akasema, Kampasheni Yakobo na wale ndugu habari hizi. Akaondoka, akaenda mahali pengine.


Na hao walipokwisha kunyamaza Yakobo akajibu, akisema, Ndugu zangu, nisikilizeni.


Basi baada ya Paulo na Barnaba kushindana na watu hawa na kuhojiana nao sana, ndugu wakaamuru kwamba Paulo na Barnaba na wengine miongoni mwao wapande kwenda Yerusalemu kwa mitume na wazee ili kuzungumza juu ya suala hilo.


Mitume na ndugu wazee, kwa ndugu zetu walioko Antiokia na Shamu na Kilikia, walio wa Mataifa; Salamu.


Mitume na wazee wakakusanyika wapate kulitafakari neno hilo.


Toka Mileto Paulo akatuma watu kwenda Efeso, akawaita wazee wa kanisa.


Maana waweza kujua ya kuwa hazijapita siku zaidi ya kumi na mbili tangu nilipopanda kwenda Yerusalemu ili kuabudu.


Lakini sikumwona mtume mwingine, ila Yakobo, ndugu yake Bwana.


tena Yakobo, Kefa, na Yohana, waliosifika kuwa ni nguzo, walipoitambua ile neema niliyopewa, walinipa mimi na Barnaba mkono wa kulia wa kuonesha ushirikiano; ili sisi tuende kwa Mataifa, na wao waende kwa watu wa tohara;


Yakobo, mtumwa wa Mungu, na wa Bwana Yesu Kristo, kwa makabila kumi na mawili waliotawanyika; salamu.