Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 20:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Alipokwisha kunena haya akapiga magoti, akaomba pamoja nao wote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Paulo alipomaliza kusema haya akapiga magoti pamoja nao wote akaomba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Paulo alipomaliza kusema haya akapiga magoti pamoja nao wote akaomba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Alipokwisha kunena haya akapiga magoti, akaomba pamoja nao wote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 20:36
9 Marejeleo ya Msalaba  

(maana Sulemani alikuwa amefanya mimbari ya shaba, urefu wake dhiraa tano, na upana wake dhiraa tano, na kwenda juu kwake dhiraa tatu, na kuisimamisha katikati ya ua; akasimama juu yake, akapiga magoti mbele ya mkutano wote wa Israeli, akaikunjua mikono yake kuelekea mbinguni);


Hata Danieli, alipojua ya kuwa yale maandiko yamekwisha kutiwa sahihi, akaingia nyumbani mwake, (na madirisha katika chumba chake yalikuwa yamefunguliwa kuelekea Yerusalemu;) akapiga magoti mara tatu kila siku, akasali, akashukuru mbele za Mungu wake, kama alivyokuwa akifanya tokea hapo.


Mwenyewe akajitenga nao kama kiasi cha kutupa jiwe, akapiga magoti akaomba,


Katika mambo yote nimewaonesha ya kuwa kwa kushika kazi hivi imewapasa kuwasaidia wanyonge, na kuyakumbuka maneno ya Bwana Yesu, jinsi alivyosema mwenyewe, Ni heri kutoa kuliko kupokea.


Hata tulipotimiza siku zile tukaondoka tukaenda zetu, na watu wote, pamoja na wake zao na watoto wao, wakatusindikiza mpake nje ya mji, tukapiga magoti pwani tukaomba;


Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii. Akiisha kusema haya akalala. Na Sauli alikuwa akiona kitendo cha kuuawa kwake kuwa sawa.


Petro akawatoa nje wote, akapiga magoti, akaomba, kisha akaelekea yule maiti, akanena, Tabitha, inuka. Naye akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua, akaketi.


Kwa hiyo nampigia Baba magoti,


Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.