Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 20:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Sikutamani fedha wala dhahabu, wala mavazi ya mtu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu, wala nguo za mtu yeyote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu, wala nguo za mtu yeyote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu, wala nguo za mtu yeyote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sikutamani fedha wala dhahabu wala vazi la mtu yeyote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sikutamani fedha wala dhahabu wala vazi la mtu yeyote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sikutamani fedha wala dhahabu, wala mavazi ya mtu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 20:33
13 Marejeleo ya Msalaba  

Musa akakasirika sana, akamwambia BWANA. Usiikubali sadaka yao; mimi sikutwaa hata punda mmoja kwao, wala sikumwumiza hata mtu mmoja miongoni mwao.


Ikiwa wengine wanashiriki uwezo huu juu yenu, sisi si zaidi? Lakini hatukuutumia uwezo huo; bali twayavumilia mambo yote tusije tukaizuia Habari Njema ya Kristo.


Lakini mimi sikutumia mambo hayo hata moja. Wala siyaandiki hayo ili iwe hivyo kwangu mimi; maana ni heri nife kuliko mtu awaye yote abatilishe huku kujisifu kwangu.


Basi thawabu yangu ni nini? Ni hii, ya kuwa ninapohubiri, nitaitoa Injili bila gharama, bila kutumia kwa utimilifu uwezo wangu nilio nao katika Injili.


Je! Hatuna uwezo wa kula na kunywa?


Je! Nilifanya dhambi kwa kunyenyekea ili ninyi mtukuzwe, kwa sababu niliwahubiria Injili ya Mungu bila ujira?


Nami nilipokuwa pamoja nanyi na kuhitaji sikumlemea mtu. Maana hao ndugu waliokuja kutoka Makedonia walinipa kadiri ya mahitaji yangu; nami katika mambo yote najilinda nafsi yangu nisiwalemee hata kidogo; tena najilinda.


Tupeni nafasi mioyoni mwenu. Hatukumdhulumu mtu yeyote, wala kumharibu mtu, wala kumkosea mtu.


Maana hatukuwa na maneno ya kujipendekeza wakati wowote, kama mjuavyo, wala maneno ya juu juu ya kuficha choyo; Mungu ni shahidi.


lichungeni kundi la Mungu lililo kwenu, na kulisimamia, si kwa kulazimishwa, bali kwa hiari kama Mungu atakavyo; si kwa kutaka fedha ya aibu, bali kwa moyo.


Kwa maana, kwa ajili ya Jina hilo, walitoka, wasipokee kitu kwa Mataifa.