Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 20:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tukatweka kutoka huko, na siku ya pili tukafika mahali panapokabili Kio; siku ya tatu tukawasili Samo, tukakaa Trogilio, siku ya nne tukafika Mileto.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kutoka huko tulisafiri tukafika Kio kesho yake. Siku ya pili, tulitia nanga Samo na kesho yake tukafika Mileto.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kutoka huko tulisafiri tukafika Kio kesho yake. Siku ya pili, tulitia nanga Samo na kesho yake tukafika Mileto.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kutoka huko tulisafiri tukafika Kio kesho yake. Siku ya pili, tulitia nanga Samo na kesho yake tukafika Mileto.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kutoka huko tuliendelea kwa meli, na kesho yake tukafika mahali panapokabili Kio. Siku iliyofuata tukavuka kwenda Samo, na kesho yake tukawasili Mileto.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kutoka huko tuliendelea kwa njia ya bahari, na kesho yake tukafika mahali panapokabili Kio. Siku iliyofuata tukavuka kwenda Samo, na kesho yake tukawasili Mileto.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tukatweka kutoka huko, na siku ya pili tukafika mahali panapokabili Kio; siku ya tatu tukawasili Samo, tukakaa Trogilio, siku ya nne tukafika Mileto.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 20:15
3 Marejeleo ya Msalaba  

Alipotufikia huko Aso, tukampakia, kisha tukafika Mitilene.


Toka Mileto Paulo akatuma watu kwenda Efeso, akawaita wazee wa kanisa.


Erasto alibaki Korintho. Trofimo nilimwacha huku Mileto, mgonjwa.