Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 20:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini sisi tukatangulia kwenda merikebuni, tukaabiri kwenda Aso, tukikusudia kumpakia Paulo huko; kwa maana ndivyo alivyoagiza, yeye mwenyewe aliazimia kwenda kwa miguu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sisi tulipanda meli tukatangulia kwenda Aso ambako tungemchukua Paulo. Ndivyo alivyopanga; maana alitaka kufika huko kwa kupitia nchi kavu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sisi tulipanda meli tukatangulia kwenda Aso ambako tungemchukua Paulo. Ndivyo alivyopanga; maana alitaka kufika huko kwa kupitia nchi kavu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sisi tulipanda meli tukatangulia kwenda Aso ambako tungemchukua Paulo. Ndivyo alivyopanga; maana alitaka kufika huko kwa kupitia nchi kavu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tukatangulia kwenye meli, tukasafiri kwenda Aso ambako tungemchukua Paulo. Alikuwa amefanya utaratibu huu kwa sababu alikuwa akienda huko kwa miguu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tukatangulia melini tukasafiri mpaka Aso ambako tungempakia Paulo. Alikuwa amepanga hivyo kwa maana alitaka kufika kwa miguu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini sisi tukatangulia kwenda merikebuni, tukakabiri kwenda Aso, tukikusudia kumpakia Paulo huko; kwa maana ndivyo alivyoagiza, yeye mwenyewe aliazimia kwenda kwa miguu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 20:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hata alfajiri na mapema sana akaondoka, akatoka akaenda zake mahali pasipokuwa na watu, akaomba huko.


Hata alipokwisha kuagana nao akaenda zake mlimani kuomba.


Basi alipokwisha kuyaona yale maono, mara tukataka kutoka kwenda Makedonia, kwa kuwa tuliona hakika ya kwamba Mungu ametuita tuwahubirie Habari Njema.


Wakamleta yule kijana, akiwa mzima, wakafarijika faraja kubwa sana.


Alipotufikia huko Aso, tukampakia, kisha tukafika Mitilene.


Ila watu hao wamekwisha kutangulia wakamngojea Troa.