Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 20:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakamleta yule kijana, akiwa mzima, wakafarijika faraja kubwa sana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wale watu walimchukua yule kijana hadi nyumbani akiwa mzima kabisa, wakapata kitulizo kikubwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wale watu walimchukua yule kijana hadi nyumbani akiwa mzima kabisa, wakapata kitulizo kikubwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wale watu walimchukua yule kijana hadi nyumbani akiwa mzima kabisa, wakapata kitulizo kikubwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu wakamrudisha yule kijana nyumbani akiwa hai nao wakafarijika sana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu wakamrudisha yule kijana nyumbani akiwa hai nao wakafarijika sana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamleta yule kijana, akiwa mzima, wakafarijika faraja kubwa sana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 20:12
10 Marejeleo ya Msalaba  

Watulizeni mioyo, watulizeni mioyo, watu wangu, asema Mungu wenu.


Akapanda juu tena, akamega mkate, akala, akazidi kuongea nao hadi alfajiri, ndipo akaenda zake.


Lakini sisi tukatangulia kwenda merikebuni, tukaabiri kwenda Aso, tukikusudia kumpakia Paulo huko; kwa maana ndivyo alivyoagiza, yeye mwenyewe aliazimia kwenda kwa miguu.


atufarijiye katika dhiki zetu zote ili nasi tupate kuwafariji wale walio katika dhiki za namna zote, kwa faraja hizo, tunazofarijiwa na Mungu.


ambaye ninamtuma kwenu kwa kusudi lilo hilo mpate kuzijua habari zetu, naye awafariji mioyo yenu.


Tukamtuma Timotheo ndugu yetu, mtumishi wa Mungu katika Injili ya Kristo, ili kuwafanya ninyi imara na kuwafariji katika imani yenu;


Basi, farijianeni kwa maneno hayo.


Basi, farijianeni na kujengana kila mtu na mwenzake, hakika kama mnavyofanya.


Ndugu, tunawasihi, waonyeni wale wasiokaa kwa utaratibu; watieni moyo walio dhaifu; watieni nguvu wanyonge; vumilieni na watu wote.


Na Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu, aliyetupenda akatupa faraja ya milele na tumaini jema, katika neema,